Halloween party ideas 2015
WABUNIFU MEDIA

WABUNIFU MEDIA

Breaking News

[recent][newsticker]
  • Maskani[Home]
  • Habari[news]
  • habari mpya[Recent post]
  • -grip/recent
  • Michezo[sport]
  • Burudani[inertaiment]
  • -menubig/Burudani
  • Makala[Documentary]
  • Matukio[Event]
Main Menu
Image
Home Michezo KUELEKEA PAMBANO LA WATANI WA JADI ,SERIKALI YAWAONYA MAHARAMIA WA TIKETI ZA ELEKTONIKI

KUELEKEA PAMBANO LA WATANI WA JADI ,SERIKALI YAWAONYA MAHARAMIA WA TIKETI ZA ELEKTONIKI

WABUNIFU MEDIA 07:38:00
A+ A- Print Email
Na Issa Ramadhani

KATIKA kuelekea pambano la kukata na shoka baina ya watani wa jadi Simba na Yanga maarufu kama Kariakoo Derby, Serikali imekuja na mfumo mpya wa ki elektoniki ambapo imekemea na kuwataka wale wenye nia ovu ya kutaka kuhujumu mfumo huu waache kabisa vinginevyo watakiona cha mtema kuni.



Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo Nape Nnauye alisema hawatakuwa tayari kuona mfumo huo ukiingiliwa na watu wachache ambao ni maharamia wa michezo  kwa ajili ya maslahi yao binafsi huku Serikali ikikosa mapato baada ya kuziba mianya hiyo.




Kwa mujibu wa Waziri Nape, mfumo huo ni wa kwaanza wa aina yake katika eneo lote la Afrika chini ya Jangwa la Sahara, na utasaidia kuvuna mapato ambayo huko nyuma yalikuwa yakiangukia katika mikono haramu na kusababisha wanufaika halali kuvuja jasho la bure




"Kwa gharama yoyote hakutakuwa tayari kuona watu wanahujumu mfumo huu na tukiwabaini tutawachukulia hatua kali bila kujali nyadhifa zao wala uwezo wao wa kifedha.Alisema Waziri Nape



Nape alisema pia kumekuwa na changamoto kubwa za upatikanaji wa tiketi hizo katika kituo mbali mbali lakini zinashughulikiwa na hakuna mtu yoyote atashindwa kuangalia mchezo huo kwa kukosa huduma

Mbali na changamoto hizo, lakini mfumo huo utapelekea na kuufanya mfumo huo wa Uwanja wa Taifa kuwa wa kiusalama zaidi huku majina, anuani pamoja na maeneo wnayoishi kutambulika zaidi na kuziba minyanya ya waharifu.

"Mfumo huu ni mpya ni mgeni hanchini kwetu lazima changamoto kama hizi zijitokeze kulinganisha na ukubwa wa mechi husika, mashabiki wote wanaotaka kwenda uwanjani watapata nafasi ya kufanya hivyo watoa huduma wamejipanga kuhakikisha kila mtu anaenda uwanjani," alisema Nape.

Aidha Waziri Nape ameitaka kampuni ya Selecom ambayo ndiyo inaratibu upatikanaji wa tiketi hizo kuongeza idadi ya watoa Huduma ili kupunguza misururu ya watu kwenye vituo.

JIUNGE NASI , BONYEZA HAPA http://www.wabunifumedia.blogspot.com ku-install App ya wabunifumedia,  bila ya kuingia websiteTweet@wabunifumediaonline, youtube@wabunifumediaonline TV, Fb@wabunifumediaonline, insta@wabunifumediaonline
Michezo
Tweet Share Share Share Share Share
Next
Newer Post
Previous
Older Post

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

DECENT ENGLISH MEDIUM SCHOOL

DECENT ENGLISH MEDIUM SCHOOL
Image

ZINAZOSOMWA WAKATI WOTE

  • IJUE FAIDA YA KULA PILI PILI MBUZI
  • JE UMRI MZURI WA KUOANA NI UPI?
  • ZIJUE FAIDA ZA KUTUMIA BAMIA
  • MATUMIZI SAHIHI YA ANTBIOTICS HUTIBU KISONONO ,PANGUSA KWA ASILIMIA 76%
  • MSIMAMO LIGI KUU EPL 2016/2017

Labels

  • Burudani (43)
  • Habari (259)
  • makala (10)
  • matukio (5)
  • Michezo (232)
  • Picha (9)

ZILIZOSOMWA WIKI HII

  • PIGO KWA JAMII FORUMS
  • IJUE KATIBA YETU LEO:SURA YA PILI
  • SNOOP DOGG AFUNGUKA JUU YA KUAMINI NGUVU KULIKO DOLA
  • Buyuni kunufaika na REA awamu tatu
  • DIWANI BUYUNI LAWAMANI KWA UPENDELEO

Contact Form

Name

Email *

Message *

WABUNIFU MEDIA © 2016. All Rights Reserved.

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.