Halloween party ideas 2015
Image

kwa mara ya kwanza masokwe ambao wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja wameonekana huko australia
watafiti waliweza kuwapiga picha sokwe hao wa kikie uku wakiwa wanashikana kimahaba na kuweza kudhihilisha wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja
watafiti hao waliwahi kusema kuna mapenzi ya jinsia moja kwa wanyama lakini hawakuwahi kuwaona sokwe wa kike wamezoea kuwaona jamii ya bonobos lakin kwa sasa jamii ya nyani nayo imeongezeka  
Profesa Cyril Grueter kutoka Chuo Kikuu cha Shule ya Australia Magharibi Anatomy, Physiology na Biolojia ya Binadamu aligundua kuna baadhi ya wasagaji baina ya nyani hao katika nchi ya Rwanda Baada ya kufanya utafit aligundua kuwa katika sokwe 22 wa kike 18 walikuwa wanashiriki katika vitendo vya usagaji
Tabia ya ushoga na usagaji kwa wanyama sasa imekuwa kawaida.

Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.