Halloween party ideas 2015
Image

Masnii mkongwe wa hip hop na muigizaji wa filam ice cube memaliza wiki vizuri baada ya kununua nyumba kwa dola million 7.25 ambalo lilikuwa limewekwa sokonin namuigizaji wa filamu Jean claud van dame
Nyumba iyo mpyaa ya ice cube ilijengwa mwaka 2011 ambayo ina vyumba 11 vya kulala,gyme,jakuzi la kuogelea pia nyumba iyo ipo kando ya bahari 
Ice cube alishusha bei ya nyumba iyo kutoka dola milion 10 mpaka 7.25

Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.