Halloween party ideas 2015
Image


Marcus Rashford anapaswa kuwa na wasiwasi kama Jose Mourinho atachukua kazi ya kuinoa Manchester utd kwa sababu Van gaal ni kocha ambae anaweza kwenda ana kwa ana namchezaji kama Pep Gurdiola wa Manchester city 

Mchambuzi wa Sky Sport amesema kuwasili kwa Mourinho kutawapa wasiwasi wachezaji vijana kama Rashford na wengine ambao wamejitokeza msimu huu

Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.