Halloween party ideas 2015
Image

Rafa Benitezi amesema hatomuuza mchezaji yeyote katika clabu yake hiyo ya Newcastle hata kama tumeshuka daraja na kuja champion ligi 
Benitezi amepewa mkataba mrefu  kuendelea kuifundisha timu hiyo ili iweze kurudi ligi kuu  
Amesema nitakuwa na mipango  Kama Boby Robson kutomuuza mchezaji yeyote na ameongeza kuwa atairudisha timu ligi kuu kwa jitihada zote
Mhisipania huyo amesaiani mkataba wa miaka mitatu ambao utamfanya alipwe  £100,000 kwa wiki na kuwa kocha namba moja kwa champion kulipwa pesa nyingi

Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.