Halloween party ideas 2015
Image



Golikipa ambae ametokea katika akademia ya manchesyer united amesema anapendelea kucheza timu yake hiyo ya utotoni
Golikipa huyo ambae alijiunga mwaka 2005 chin ya kocha sir alex ferguson na kushindwa kupata namba na kuhamia Hannover 96 amesema kuwa nimemaliza muda wangu apa na sasa nataka kuchezea manchester utd baada  ya timu hiyo ya ujeruman kushuka daraja

Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.