Halloween party ideas 2015
Image

Manchester united wamethibitish kumsainisha kiungo mchezeshaji wa Sporting Lisbon  Joao Mario
Timu ya Manchester utd wapo kwenye atua za mwisho kumalizana na mchezaji wa Sportong Lisbon Joao Mario
Mchezaji huyo ambae amecheza mechi 37 na kufunga magili 7 anweza kusain mkataba wa muda mrefu ambao atalipwa £140,000 kwa wiki
Japokuwa boss wa sporting hakutaka kumuuza kiungo huyo lakini atashindwa kumzuia kutokana na timu zenye pesa kumuhitaji


Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.