Halloween party ideas 2015
Image


Mcezaji huyo wa Ispain anaweza kuuzwa msimu uyao kama kocha wa chelse Antonio conte atafanikiwa kumsajili Higuain kutoka Napoli ambae amefunga magoli 33 msimu mmoja Conte amesema halidhishwi na tabia za Diego Costa pia lawama za mashabiki kwa msimu huu walizomtupia diego  msimu huu
Costa amefunga magoli 12 msimu huu tofauti na msimu uliopita  aliweza kuipa ubingwa Chelsea


Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.