Halloween party ideas 2015
Image



New York ,Marekani.

MSANII na mtunzi wa nyimbo kutoka Marekani, Beyonce Knowles, yupo mbioni kumiliki moja ya vilabu vikubwa vya Mpira wa Kikapu nchini Marekani ambapo anaipigia mahesabu ya kuinunua timu ya Houston.
 

Beyonce na mumewe ambaye ni msanii nguli wa Marekani, Jay Z, wanaonekana sio wageni katika biashara hiyo ya kuendesha timu ya NBA, kwa kuwa awali Jay Z alishawahi kuwa na hisa yake ndogo katika timu ya Brookly Nets mwaka 2003 hadi 2004, alikuja kuachana nayo bada ya kuibuka mgogoro wa kimaslahi baada ya kuunda Roc Nation Sports.


Hadi sasa, hakuna taarifa rasmi iliyotolewa kuhusiana na ununuzi wa timu hiyo inayoshiriki ligi ya NBA.



JIUNGE NASI , BONYEZA HAPA http://www.wabunifumedia.blogspot.com ku-install App ya wabunifumedia,  bila ya kuingia websiteTweet@wabunifumediaonline, youtube@wabunifumediaonline TV, Fb@wabunifumediaonline, insta@wabunifumediaonline

Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.