Halloween party ideas 2015

Lousi van gaal amekili kuwa afukuzwe endapo atashindwa kufuzu kushiriki ligi ya mabingwa ulaya
Manchester utd wanaomba majirani zao man city wapoteze mchezo zidi ya swansea
Van Gal amesema kuwa nitakuwepo apa mpaka bodi itakapoamua ,sisi bado tunapigania kucheza ligi ya mabingwa na bado tunacheza fainali ya Fa na ninaona bado nafasi ipo kama manchester city itapoteza
 

Post a Comment

Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.