Halloween party ideas 2015
Image

Kocha wa Manchester utd Lous Van Gal amesema atafanya mabadiliko makubwa sana kuelekea mchezo wa leo dhi ya west ham baada ya kuwaacha wachezji wake katika mechi iliyopita dhidi ya Norwich
Man utd wanaweza kuwa salama kuingia top 4 kama watashinda michezo miwili iliobaki baada ya Manchester city kutoa suluhu ya 2-2 dhidi ya arsenal
Blind na Rashford waliachwa nyumban dhid ya Norwich kwenye ushondi wa  1-0
Wakati  huo Michael carick,lingard na Marcos Rojo wanawaza kweenda kama kocha ataamua


Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.