Halloween party ideas 2015
Image


Mashabiki wa Manchester utd wamemjia juu kocho wa timu hiyo Lous Van gaal baada ya kufungwa mechi ya jana dhidi ya west ham
mashabiki hao walituma jumbe mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii kwa  kusema kuwa muda wa kumuona umeisha
Untd jana ilianza kucheza vibaya kipindi cha kwanza na kuruhusu kufungwa goli dakika ya kumi lilofungwa na Diafra Sakho mpaka kipindi cha kwanza kinaisha west ham wanaongoza kwa goli moja
Kipindi cha pi mashetani wekundu walipata mabao mawili kutoka kwa Antony Martial kabla ya Michael Antonio na Wiston Reid kusawazisha na kuongeza kwa West Ham

Untd wanabaki kwenye nafasi yao ileile ya tano na kupoteza ndoto ya nafasi ya  nne

Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.