Halloween party ideas 2015
Image

Kocha mpya wa manchester city Pep Gurdiola amesema kuwa usajili wake wa kwanza katika kikosi hicho angependa kuanza na Alex sunches pamoja na Jack Jilshare Pep amesema anavutiwa na uchezaji wa vijana hao kutoka ganners 
Pia Pep amesema mbali na hao anavutiwa na mchezaji wa totteniham beki wa kushoto Danny Roseambae ameonyesha kiwango cha hali ya juu msimu huu

Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.