Halloween party ideas 2015
Image

Na Mwandishi Wetu,Dar es salaa

TANZANIA ni nchi inayo ongozwa kwa misingi ya demokrasia na katiba, nchi yoyote ili iweze kusimama lazima iwe na katiba yake na wanachi pamoja na viongozi waitambue na kuilinda







Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania

                                  SURA YA PILI

 Haki ya kufanya kazi,kupata elimu na nyinginezo Sheria ya 1984.Na15.ibara.6

1.(1)Mamlaka ya Nchi itaweka utratibu  unaofaa  kwa ajili ya kufanikisha      utekelezaji  ya mtu kufanya  kazi, Haki ya kupata  msaada kutoka  kwa jamii Haki ya kupata  msaada kutoa  kwa jamii wakati wa uzee,maradhi au hali ya ulemavu
 na katika  hali nyingine za mtu kuwa hajiwezi .Na bila ya kuathiri haki hizo,mamlaka ya nchi itaweka  utaratibu  wa kuhakikisha  kwamba kila mtu anaishi kwa jasho lake.

 (2)Kila mtu anayo haki ya kujielimisha, na kila raia atakuwa  huru kutafuta elimu Katika fani anayopenda hadi kufikia upeo wowote kulingana na stahili na uwezo wake.

    
(3)Serikali itafanya jitihada kuhakikisha  kwamba watu wote wanapata fursa sawa  za kutosha kuwawezasha kupata elimu na mafunzo ya ufundi katika ngazi zote za shule na  vyuo vingine vya mafunzo


Itaendelea sehemu ya tatu , usikose ....
  


JIUNGE NASI , BONYEZA HAPA http://www.wabunifumedia.blogspot.com ku-install App ya wabunifumedia,  bila ya kuingia websiteTweet@wabunifumediaonline, youtube@wabunifumediaonline TV, Fb@wabunifumediaonline, insta@wabunifumediaonline


Post a Comment

Theme images by Maliketh. Powered by Blogger.